BONGO YETU
ANIMATION
BONGO MOVIES
TANAPA
TANGAZO LA COMPUTER
AIRTEL
SIMBA SC YATOA TAMKO
Michael Richard Wambura.
Kamati ya Uchaguzi ya Simba SC imesema uchaguzi wa klabu hiyo utaendelea kama ulivyopangwa kufanyika Juni 29 mwaka huu. Kamati hiyo pia imesema imemuondoa Michael Richard Wambura kwenye mchakato wa kugombea uchaguzi huo.
Newer Post
Older Post
Home