ANIMATION


web stats

BONGO MOVIES

BONGO MOVIES

TANAPA

TANGAZO LA COMPUTER

TANGAZO LA COMPUTER

AIRTEL

SIMBA SC YATOA TAMKO

                                                               Michael Richard Wambura.

Kamati ya Uchaguzi ya Simba SC imesema uchaguzi wa klabu hiyo utaendelea kama ulivyopangwa kufanyika Juni 29 mwaka huu. Kamati hiyo pia imesema imemuondoa Michael Richard Wambura kwenye mchakato wa kugombea uchaguzi huo.